Apollo Wavuna Viungo 23 vya Binadamu Waliojitolea

KAMA watoa huduma za afya wanaoongoza barani Asia Hospitali za Apollo zimekuwa maarufu na kukubalika kwa mafanikio yake kitabibu na kujitoa kwake katika kuboresha maisha ya watu. Katika hali ambayo hutokea mara chache kati ya wataalamu wa utabibu Apollo waliendesha zoezi la upandikizaji wa viungo kwa kipindi cha siku moja. Matukio yaliyofanyika tarehe 4 Mei 2015 chini ya Hospital kuu …

Hospitali za Apollo na Jitihada Kuimarisha Sayansi ya Mfumo wa Fahamu Tanzania

UMAKINI kwa mara nyingine tena umewekwa katika uhitaji wa wataalamu zaidi na kuboresha miundombinu ndani ya sekta ya utabibu wa upasuaji wa mfumo wa fahamu. Hii inakuja baada ya ziara ya hivi karibuni na timu ya madaktari kutoka hospitali ya Apollo nchini India. Madaktari ambao walikuwa nchini kwa lengo la kujenga uhusiano unaoendelea kati ya hospitali hiyo na Tanzania, walipata …

Tanzanians Seeking State of the Art Medical Facilities for Quality Healthcare Abroad

AS the forerunner of integrated healthcare in Asia as well as globally, Apollo hospital through its futuristic vision has been able to maintain a position of strength at every point of the healthcare delivery chain. Boasting a state of the art medical facility the institution has seen its reputation spread across various African countries, Tanzania being amongst them. Apollo Hospitals …