Paka Amponza Mfugaji, Amfunga Miaka 3 Jela

MAHAKAMA ya mwanzo Mengwe wilayani Rombo imemhukumu mkazi wa Rombo, Godfrey Kimaryo(32) kutumikia kifungo cha miaka mitatu jela baada ya kupatikana na hatia ya kufanya shambulio la mwili kwa kumjeruhi vibaya mtoto wa miaka tisa kwa madai kua aliiba paka wake. Hukumu hiyo imetolewa na hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Mengwe, Adinani Kingazi kesi ambayo ilivuta hisia za watu wengi …