Profesa Sospeter Muhongo Atangaza Kujiuzulu Leo

TAARIFA ambazo mtandao wa dev.kisakuzi.com umezipata ni kwamba Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ameamua kujiuzulu nafasi yake. Profesa Muhongo ametangaza hatua hiyo leo asubuni alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya Wizara ya Nishati na Madini jijini Dar es Salaam. akitangaza kujiunzulu mbele ya waandishi wa habari mapema leo Jumamosi Januari 24, 2015 makao makuu …

Mauaji Wakenya; Mkuu wa Polisi Kenya Ajiuzulu

INSPEKTA Generali Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Kenya, David Kimaiyo ametangaza kujiuzulu ikiwa ni shinikizo kutokana na yeye kushindwa kuwajibika juu ya matukio kaadhaa ya ushambulizi toka kwa wanamgambo wa kundi la Al Shabaab yanayoendelea kupoteza maisha ya raia wa Kenya. Generali Kimaiyo ametangaza uamuzi huo huku yeye akiuita kustaafu mapema kutokana na kushindwa kuwalinda raia wa nchi hiyo, …