TaSUBa Yaombwa Kufunza Sanaa na Utamaduni Afrika Mashariki

  Benjamin Sawe, Bagamoyo   TAASISI ya Sanaa Bagamoyo imeaswa kuendelea kutoa mafunzo ya sanaa na utamaduni ambayo yatakidhi mahitaji ya soko kwa nchi za Afrika Mashariki.   Hayo yamesemwa na Makongoro Nyerere kwa niaba ya Spika wa Bunge la Afrika Mashariki, Margaret Ntantongo Zziwa katika Ufunguzi wa Tamasha la 33 la sanaa na utamaduni wa Mtanzania lililofanyika katika Taasisi hiyo …

Waziri Pinda Afunga Michezo ya Majeshi Afrika Mashariki

  WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema majeshi ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki hayana budi kuendeleza umoja na mshikamano ili kukuza udugu uliopo. Ametoa kauli Agosti 29, 2014 wakati akifunga mashindano ya Michezo ya Majeshi ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwenye Uwanja wa Amaan, mjini Zanzibar.   Waziri Mkuu ambaye kabla ya kuhutubia umati ulioshiriki …