Mahakama ya Afrika Yahamasisha Walesotho

Na Mtua Salira, EANA, Arusha MAHAKAMA ya Afrika ya Haki za Binadamu (AfCHPR) inafanya ziara ya siku mbili nchini Lesotho kwa lengo la kuishiwa nchi hiyo kuhamasisha kazi za mahakama hiyo nchini humo. Kazi hiyo inayofanyika kati ya Julai 6 na 7, mwaka huu, pamoja na mambo mengine itatembelea maofisa wa ufalme huo wakiwemo Waziri Mkuu, mawaziri wa Mambo ya …

Mahakama Afrika Kuanza Kikao Jumatatu Arusha

Na Mtuwa Salira, EANA MAHAKAMA ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) inaanza kikao chake cha kawaida cha 36 cha mwaka, kuanzia Machi 9 hadi Marchi 27, mwaka huu, katika makao yake makuu mjini Arusha, Tanzania. Majaji wa mahakama hiyo pamoja na mambo mengine watapokea na kujadili taarifa za mikutano miwili ya kawaida iliyopita na maombi mengine yaliyokwishawasilishwa …

Tanzanian Convicted of Robbery Seeks Remedy at African Court

By Mtua Salira, EANA, Arusha A case in which a Tanzanian, Mr Alex Thomas, who is claiming that his basic rights have been infringed upon by the Tanzania’s justice comes up before the African Court for Human and Peoples’ Rights (AfCHPR) tomorrow (Dec 3) in Addis Ababa, Ethiopia. The public hearing has coincided with the Arusha-based Court’s Ordinary Session of Judges …