Msanii Banza Stone Afariki Dunia Leo Dar..!

MSANII maarufu wa muziki wa dansi nchini, Ramadhan Masanja a.k.a Banza Stone amefariki dunia leo mchana jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu. Msanii Banza ambaye aliwahi kuzushiwa kifo mara kadhaa amefariki leo nyumbani kwao Sinza Vatican jijini Dar es Salaam na ndugu wa msanii hiyo wamethibitisha kutokea kwa kifo chacke. Banza stone au mwalimu wa walimu …

Mwanahabari Edson Kamukara Afariki Dunia…!

Na Joachim Mushi MWANDISHI wa habari Edson Kamukara aliyekuwa mfanyakazi wa Hali Halisi Publishers Limited (HHPL) amefariki dunia ghafla nyumbani kwake Mabibo jijini Dar es Salaam. Edson ambaye kwa sasa alikuwa Mhariri wa gazeti tando la MwanaHALISI ONLINE amefariki dunia majira ya saa kumi na mbili jioni huku taarifa za awali zikieleza kifo chake kimetokana na kulipukiwa na jiko la …

Hatimaye Rais wa Zambia, Michael Sata Amefariki Dunia

RAIS wa Zambia, Michael Chilufya Sata amefariki dunia. Kwa mujibu wa taarifa ya wanafamilia wa Rais huyo, Michael Sata imeviambia vyombo vya habari kuwa rais huyo amefariki dunia katika hospitali ya London alikokuwa akitibiwa ugonjwa ambao haujatajwa hadi sasa. Kifo cha Rais Sata aliyekuwa na umri wa miaka 77 kimetokea ikiwa ni siku chache baada ya Zambia kusherehekea miaka 50 …

Jenerali Mtaafu Hashimu Mtezo Afariki Dunia

JESHI la Ulinzila Wananchiwa Tanzania (TWTZ) linasikitika kutangaza kifo cha Brigedia Jenerali (mstaafu) Hashimu Said Mtezo kilichotokea tarehe 04 Oct 14 kwa ugonjwa katika Hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo Dar es Salaam alipokuwa akipata matibabu. Alizaliwa Machi 18, 1945 Wilayaya Dodoma mjini katika Mkoa wa Dodoma, alisoma katika shule ya Sekondari ya Tabora kuanzia mwaka 1962 hadialipohitimu Kidato cha Sita …