
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akifurahi alipokutana na mtoto Muktar Abdul mwenye umri wa miezi sita akiwa na mama yake Lucia Lingwanda, mkazi wa Chanika, wilayani Ilala, wakati Mama Salma alipotembelea mabanda ya maonesho ya wiki ya unyonyeshaji duniani katika sherehe zilizofanyika Mnazi Mmoja tarehe 7.8.2013.

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akizindua rasmi kitita cha kuhamasisha ulishaji bora wa watoto katika jamii kwa kukata utepe wakati wa kilele cha maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji duniani yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja tarehe 7.8.2013.

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akizindua rasmi kitita cha kuhamasisha ulishaji bora wa watoto katika jamii kwa kukata utepe wakati wa kilele cha maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji duniani yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja tarehe 7.8.2013.