Semina ya usajili vitambulisho Zanzibar


Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akitoa hotuba yake katika ufunguzi wa Semina ya wajumbe hao inayohusu usajili wa vitambulisho vya Taifa, iliyoandaliwa na Mamlaka ya Utambuzi na Usajili wa Vitambulisho vya Taifa (NIDA) katika Ukumbi wa Ocean View Hoteli Kilimani Zanzibar Julai 03, 2011. Picha na Ikulu Zanzibar.