
Meneja wa Maendeleo ya biashara wa kampuni ya bia ya Serengeti bw. Antony Mulinge (wa pili kutoka kulia)akimkabidhi funguo za gari mshindi wa gari ya mwisho katika promosheni ya VUMBUA HAZINA CHINI YA KIZIBO na SBL’ bw. Paul Kessy ambaye ni mh

Meneja wa Maendeleo ya biashara wa kampuni ya bia ya Serengeti bw. Antony Mulinge akimfungulia mlango mshindi wa gari ya mwisho katika promosheni ya VUMBUA HAZINA CHINI YA KIZIBO na SBL’ bw. Paul Kessy mara baada ya kumkabidhi funguo.