Dropped ministers speak out

Dar es Salaam. Some of the nine former cabinet ministers and deputies yesterday shared out their thoughts, a day after they were dropped from the new cabinet unveiled by President Jakaya Kikwete.

Inavyoelekea, K.K.K.T. kunafuka moshi…

Wakizungumza na gazeti hili, baadhi ya waumini wa makanisa mbalimbali yaliyo chini ya kanisa hilo wamesema hivi sasa kanisa hilo limeingiwa na shetani aliyesababisha mgawanyiko wa makundi mawili, jambo ambalo halimpendezi Mungu na ni hatari katika maadili ya kiroho.