Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara wa Vietnam, Le Duong Quang (kulia) kabla ya mazungumzo yao Ofisini kwake jijini Dars salaam Decemba 2, 2010. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mh Mbilinyi a.k.a mr ii Akabidhiwa Ofisi haina hata Kigoda
MBUNGE wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi, ameanza kukumbana na machungu ya uongozi baada ya kukabidhiwa ofisi ambayo haina samani ndani yake.
Mama Salma Kikwete atimiza miaka 47 JK Acharaza gitaa kumpongeza.
Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akilicharaza gitaa wakati alipowaongoza wanafamilia nyumbani kwake kumpongeza mkewe Mama Salma Kikwete wakati wa sherehe yake ya kuzaliwa na kutimiza miaka 47 jana.Picha na freddy Maro.
TANESCO waanzisha blogu kwa mawasiliano
Haya wajameni, hatimaye TANESCO wamefungua blogu kwa ajili ya mawasiliano ambao anwani yao ni umemeforum.blogspot.com na ujumbe wa utangulizi katika blogu hiyo unasema: Blogu hii ni kwa ajili ya wadau mbalimbali wa umeme wa ndani na wa nje ya Shirika la Umeme Tanzania
Mtumie ujumbe Prof. Tibaijuka kupitia tovuti. Asema waliopora ardhi kwa jeuri ya fedha wajisalimishe
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka amemwaga cheche kuhusiana na ufisadi wa ardhi na kuagiza kama kuna watu wamepora ardhi kwa jeuri ya fedha wajisalimishe mapema.
Possible Ebola outbreak in North Western Tanzania
The Government of Tanzania is sending a team of medical experts to Kagera region in the north to investigate reports of an outbreak of a deadly disease suspected to be ebola in border villages in neighbouring Uganda. The deputy minister for Health and Social Welfare, Dr Lucy Nkya, said in Dar es Salaam Wednesday that the team will comprise medical …