10 Wauawa kwenye Ghasia Mjini Arusha, Tanzania.

  Watu wasiopungua kumi wameripotiwa kuuwawa na wengine wengi kujeruhiwa katika mji wa Arusha Tanzania, kwenye makabiliano baina ya Polisi na wafuasi wa chama cha upinzani cha CHADEMA. Ghasia zilianza baada ya Polisi kumkamata mwenyekiti wa kitaifa wa chama hicho Freeman Mbowe na mbunge wa Arusha mjini Godbless Jonathan Lema, wakiwa wanaelekea kuhutubia mkutano wa kisiasa.

TIDO MHANDO ATEMWA TBC

Sadick Mtulya na Patricia Kimelemeta BAADA ya kufanya kazi nzuri ya kuboresha matangazo na uendeshaji wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), serikali imeamua kuachana na mkurugenzi wa chombo hicho, Tido Mhando baada ya mkataba wake kuisha, lakini mtangazaji huyo maarufu ameielezea uamuzi huo kuwa kuwa ni wa utata. Kuenguliwa kwake kumefanyika takriban miezi miwili baada ya kumalizika kwa uchaguzi …

DR. BILAL PHILIPS TO VISIT TANZANIA!

Dr. Bilal Philips, once a christian, is now among the great well known islamic scholars in the world. He received his B.A degree from the Islamic University of Madina and his M.A in Aqeedah (Islamic Philosophy) from the King Saud University in Riyadh.

Rest in peace Remmy Ongala

By ALEX BITEKEYE  Tanzania-based veteran guitarist and singer Ramadhani (Remmy) Ongala, popularly known as Dr Remmy, is dead. Ongalla died on Sunday evening at the age of 63, after battling with kidney failure and diabetes. Dr Remmy, who left hospital recently, was scheduled to meet a specialist at Regency hospital in Dar es Salaam Monday.