Majaji 12 wapata kikombe kwa Babu

MAJAJI 12 ambao ni wakuu wa Kanda za Mahakama Kuu ya Tanzania, jana waliingia katika orodha ya vigogo kufika Samunge, Loliondo kupata tiba ya magonjwa sugu kwa Mchungaji Ambilikile Mwasapila. Habari zilizopatikana jana zimeeleza kwamba majaji hao walifika Samunge wakitokea Arusha ambako walikuwa na semina ya kuwajengea uwezo wafanyakazi wa Idara ya Mahakama katika kushughulikia kesi za ukiukwaji wa haki …

dev.kisakuzi.com mourns the journalist Adam Lusekelo!!!

Seasoned and veteran journalist, Adam Lusekelo (54) passed away while being rushed to Muhimbili National Hospital (MNH) on Thursday night, his wife Scolastica Lusekelo, said. Ms Lusekelo said the deceased’s health deteriorated on Thursday night when relatives rushed him to MNH. “He didn’t even reach the hospital, he breathed his last on the way at around 11pm,” Ms Lusekelo said. …

JK AFANYA MAZUNGUMZO NA KOFI ANNAN

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifanya mazungumzo na katibu mkuu wa zamani wa Umoja Wa Mataifa, Kofi Annan Ikulu jijini Dar Es Salaam. Source: Michuzi Blog

HUYU NI YULE MH.KOMBA ANAYELALA BUNGENI?

 Yaani Mh. Komba angekuwa anafuatilia miswada Bungeni kwa umakini kama anavyofuatilia hapo…..Mbona tungekuwa mbali. Kuweka kumbukumbu sahihi, embu angalia picha ya chini jinsi Mheshimiwa huyu alivyouchapa usingizi.

MAKAMU WA RAIS AKAMILISHA ZIARA YAKE MKOANI ARUSHA LEO

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. DK. Mohamed Gharib Bilal akiwa katika vazi la Mgolole la heshima na uongozi la kabila la Muarusha (Masai) alilokabidhiwa na wananchi wa wilaya ya Arusha, alipowasili kwenye uwanja wa kijiji cha Terrat Nadosollo kwa ajili ya kuhutubia wananchi. Makamu wa Rais amekamilisha ziara yake ya siku nne ya kukagua …

Obama on Libya: ‘We have a responsibility to act’

WASHINGTON – Vigorously defending the first war launched on his watch, President Barack Obama declared Monday night that the United States intervened in Libya to prevent a slaughter of civilians that would have stained the world’s conscience and “been a betrayal of who we are” as Americans. Yet he ruled out targeting Moammar Gadhafi, warning that trying to oust him …