Rais Kikwete afungua barabara ya Usagara Geita

Rais Dr. JakayaMrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi Barabara ya Usagara Geita leo asubuhi.Barabara hiyo yenye urefu wa kilometa 90 imejengwa kwa thamani ya zaidi Tshs.78bn/ zilizotolewa na serikali ya Tanzania.Wengine katika picha, Kutoka Kushoto Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Abbas Kandoro,Katibu Mkuu Ujenzi Balozi Herbert Mrango,Waziri wa Ujenzi John Pombe Magufuli, Mbunge wa Misungwi ambaye pia ni naibu Waziri …

Sekondari Tosamaganga Iringa kwachafuka mabomu

Wanafunzi wa Sekondari ya Tosamaganga wakikimbia moshi ya mabomu yaliyokuwa yakipigwa na polisi. Polisi wakiwa wamewaweka chini ya ulinzi wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Tosamaganga eneo la Kitwiru nje kidogo na Manispaa ya Iringa hapo ilikuwa ni kabla ya kuanza kupiga na kurusha mabomu ya machozi.Wanafunzi wa Sekondari ya Tosamaganga wakikimbia moshi ya mabomu yaliyokuwa yakipigwa na polisiMwandishi wa …

Neema wasafiri Ziwa Victoria, Serikali kununua meli mpya

Rais Jakaya Kikwete amesema kwa sasa wataalamu washauri wa kupatikana kwa meli hiyo, yaani Kampuni ya OSK-Ship Tech ya Denmark, tayari wamekamilisha upembuzi yakinifu juu ya aina ya meli inayofaa kwa matumizi katika Ziwa Victoria. Rais Kikwete amesema kuwa fedha za ununuzi wa meli hiyo zitatengwa katika Bajeti ya Serikali ya mwaka 2012/2013 baada ya kuwa maandalizi yote ya ununuzi …

Barcelona 3 Man’Utd 1, Messi ang’ara

WAKIONGOZWA na mchezaji ambaye ni vigumu kumkaba, Lionel Messi Timu ya Barcelona jana waliifanya vibaya Timu ya Manchester United baada ya kuichapa bao 3-1 katika fainali ya Klabu Bingwa Barani Ulaya. Wakicheza kwa kujiamini na kulishambulia watakavyo lango la Manchester, wachezaji wa Barcelona walimfanya mchezo wa jana kuonekana wamewazidi wapinzani wao kila idara hivyo mchezo kuonekana ukichezwa upande mmoja. Pedro …

Je, wajua Vuvuzela lina madhara makubwa?

      VUVUZELA chombo kilichotumika kwa kushangilia hasa na mashabiki wa soka kwenye Kombe la Dunia la soka mwaka 2010, si tu kinachafua mazingira kwa kelele, wataalamu wanadai chombo hicho kinaweza kusababisha maradhi kiafya mpulizaji. Inaeleza kwamba upulizaji kidogo tu wa Vuvuzela mfanya mpulizaji atokwe na mate mengi sawa na yanayotoka wakati mtu akipiga chafya, tena yenye uwezo wa …

NATO imeshambulia nyumba ya Gaddafi

TAARIFA kutoka katika Jeshi la NATO zinaeleza vikosi vya jeshi hilo vimeangamiza minara ya walinzi katika eneo la nyumba ya Kanali Muammar Gaddafi wa Libya mjini Tripoli.Imeelezwa kwamba yamefanyika mashambulio mawili yaliyofanywa na ndege za umoja huo wa kijeshi. Waandishi wa habari mjini Tripoli, wanasema shambulio moja lilofanywa mchana, lilivunja sehemu za ukuta unaozunguka jengo la jeshi la Bab al-Aziziya. …