Dk. Shein awaonya Waislam ‘kogombea’ misikiti

Na Mwandishi Wetu, Unguja RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein ameeleza kusikitishwa kwake na tabia iliyoibuka hivi sasa ya Waislamu kutofautiana na kubughudhiana katika mambo ya uongozi wa misikiti. Dk. Shein aliyasema hayo leo huko Tunduni Wilaya ya Kati Unguja mara baada ya kuufungua msikiti wa Tunduni, hafla ambayo ilihudhuriwa na viongozi …

Zitto, Mnyika wafichua upotoshaji bajeti ya Mkulo

WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo, anadaiwa kulipotosha taifa kitakwimu na kimaudhui uliofanywa kwa lengo la kuwajengea wananchi matumaini hewa yenye kuonyesha serikali inawajali na kusikiliza matatizo yao. Matumaini hayo aliyaonyesha kupitia hotuba yake ya bajeti ya mwaka 2011/2012 juzi ambayo ilionyesha kuwa kutakuwa na nafuu ya maisha wakati hali halisi haipo hivyo. Kauli hiyo ilitolewa jana mjini hapa …

CCM yaipa pole Afrika Kusini kwa msiba

Na Mwandishi Wetu CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa pole kwa chama cha ANC, kufuatia kifo cha Mama Nontsikelelo Sisulu, mke wa aliyekuwa mpigania uhuru wa nchi ya Afrika Kusini, Walter Sisulu. Akizungumza baada ya kutia saini kitabu cha maombolezo ya kifo hicho jana Ubalozi wa Afrika Kusini mjini Dar es Salaam, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye alisema, …