A Tanzanian Lodge Was Just Named The Best Hotel In The World

Travel + Leisure just declared Singita Grumeti Reserves in Tanzania’s Serengeti National Park to be the best hotel in the world. It received a score of 98.44 out of 100 on a list based on reader surveys. The hotel, which is made up of two lodges and a tent camp, offers unparalleled luxury in the thick of the wild. It …

Zanzibar will not sustain itself without Union –Sitta

* Says currently Mainland meets most of cost in running Z’bar By Tobias Nsungwe, Dodoma A senior Cabinet minister, Samuel Sitta yesterday said in Parliament here that people calling for a three-government system are only explaining a good way of killing the Union. Samuel Sitta who is Sitta, who is currently acting leader of Government business of the House this …

Ajali ya ndege DRC, 50 wahofiwa kufa

DRC, Kongo NDEGE ya abiria iliyokuwa na watu 112 imeanguka kwenye uwanja wa ndege wa Kisangani huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Takriban watu 40 wamekutwa wakiwa hai, lakini wengine zaidi ya 50 wanasemekana kufariki dunia. Ndege hiyo, iliyo chini ya shirika la ndege la Hewa Bora, ilijaribu kutua baada ya hali ya hewa kuwa mbaya ikitokea Kinshasa. Hakuna uthibitisho …

Sudan Kusini sasa nchi huru

Sudan, MAELFU ya Wananchi wa Sudan Kusini wamekusanyika kushuhudia kupandishwa kwa bendera mpya ya nchi hiyo kuashiria kupata uhuru wake, katika mji mkuu Juba. Rais wa Sudan Omar al-Bashir na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ban Ki-moon ni miongoni mwa wageni waliohudhuria shughuli hiyo. Sudan Kusini limekuwa taifa jipya duniani usiku wa kuamkia Jumamosi, lengo ambalo limefikiwa kufuatia mkataba …

Halima Mdee amlipua kigogo wa Wizara ya Ardhi

Dodoma MBUNGE wa Jimbo la Kawe, Halima Mdee amemlipua kigogo mmoja wa, Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi kwa madai kuwa anamkingia kifua, Robert Mugisha anayejenga katikati ya mto na hivyo kusababisha kero kwa wakazi wa Kawe Darajani. Amedai kuwa, Mshumbusi anaendelea na ujenzi huo kwa kutumia hati isiyohalali aliyopewa na kigogo huyo. Mdee alitoa kauli hiyo Bungeni jana, …

President Kikwete receives warm reception in Juba

The First Lady Mama Salma Kikwete receives a bouquet of flowers shortly after she arrived at Juba International airport, to participate in the celebrations to mark the birth of the Republic of South Sudan while President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete looks on. The First Lady accompanied the President to South Sudan independence celebrations held in Juba. South Sudanese children welcome …