Mh. Pinda alivyotembelea maonyesho ya Wizara ya Nishati na Madini Bungeni Dodoma

  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipata  maelezo kutoka kwa Fundi Sanifu Bi Jemina Sadatale kutoka Mradi wa Umeme Jua wa KKKT Mpwapwa unaofadhiliwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) mara alipotembelea banda hilo kwenye maonyesho ya Wizara ya Nishati na Madini yanayoendelea katika viwanja vya bunge mjini Dodoma. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimsikiliza kwa makini mtaalamu Bw. Godwin Msigwa kutoka  …

‘Kujivua gamba’ kwa Rostam, CCM waonyesha usikivu!

Na Rungwe Jr. Ndugu zangu, Juma hili Mh. Rostam Aziz hatimaye ‘amejivua gamba’. Kama tulivyosikia na kusoma hotuba ya Mh. Aziz mwenyewe wakati anawaaga wana Igunga, haukuwa uwamuzi rahisi kwake. Pamoja na hayo, huu ni uwamuzi wa busara na hatua ya msingi kwa chama chake cha Mapinduzi, kwani angalau kimeonyesha usikivu katika yale yanayopigiwa kelele. Moja ya yale yanayopigiwa kelele na wadau mbalimbali ni hatma ya …

MKUTANO WA NAPE MJINI MBEYA WAFUNIKA, SITTA, SENDEKA, DK. MWAKYEMBE NA PROF MWAKYUSA WAMPA TAFU YA NGUVU

Wabunge wa mkoa wa Mbeya, Sitta na Nyarandu wakimuongoza Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye kuingia uwanja wa Rwandanzovwe mjini Mbeya kwenye mkutano wa hadhara Maelefu ya watu kumtano kwenye uwanja wa Rwandanzovwe mjini Mbeya Msafara wa pikipiki ukipokea msafara Nape akihutubia maelfu ya wananchi katika Uwanja wa Rwandanzovwe mjini Mbeya Nape akiendelea kuhutubia kwa hamasa kubwa Mwenyekiti wa …

Wazee CCM waunga mkono Rostam kujivua gamba

BARAZA la Wazee wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Mkoa wa Dar es Salaam limesema uamuzi uliofanywa na aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Igunga Rostam Azizi ni uamuzi wa kawaida na si kwanza kufanya hivyo. Limesisitiza kuwa hata aliyekuwa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Makamu wa Rais wa Kwanza kwa Serikali ya Jamuhuri ya Muungamo wa Tanzania Aboud Jumbe Mwinyi …

TFF yaweka hadharani uhamisho wa wachezaji mbalimbali

UHAMISHO WA WACHEZAJI 2011/2012 Uhamisho wa wachezaji wa Ligi Kuu kwa msimu wa 2011/2012 ulifikia tamati jana saa 6 kamili usiku. Wachezaji ambao maombi yao ya uhamisho yamewasilishwa TFF ni Shabani Kado kutoka Mtibwa Sugar kwenda Yanga, Salum Machaku kutoka Mtibwa Sugar kwenda Simba na Idrisa Rajab kutoka African Lyon kwenda Yanga. Hao ni kwa wachezaji ambao maombi yao yametumwa …

dev.kisakuzi.com yashinda tuzo mbili mashindano ya blog Tanzania

Moja ya cheti cha ushindi ambacho dev.kisakuzi.com imekabidhiwa baada ya ushindi. WEBSITE ya kimataifa ya Thehabari (dev.kisakuzi.com) imeshinda tuzo mbili katika mashindano yalioendeshwa na taasisi ya nje kwa kuzishindanisha blog na website zote nchini Tanzania. Mashindano hayo yalioendeshwa kwa wasomaji kuzipigia kura blog/website wanazoona zinastahili kushinda kwa vipengele tofauti, yamemalizika huku mtandao huu ukishinda katika tuzo mbili tofauti na kupewa …