Mo Blog Yaomba Radhi kwa Wasomaji Wake

Mo Blog Yaomba Radhi kwa Wasomaji Wake
Wapendwa wasomaji wa Modewjiblog tunashughulikia matatizo ya kifundi yaliyojitokeza tangu jana kwenye ‘server’ kiutaalam inaitwa DDOS unaweza kuperuzi link hii kwa taarifa zaidi https://en.wikipedia.org/wiki/Denial-of-service_attack ambayo yako nje ya uwezo wetu.

Modewjiblog itarudi hewani hivi punde, samahani kwa usumbufu wowote ule uliojitokeza, tunahitaji ushirikiano wenu zaidi.

There has been an undergoing DDOS attach on the server https://en.wikipedia.org/wiki/Denial-of-service_attack.

We have taken measures to lighten the effects of this as much as we can. Unfortunately it is something that we don’t have much control over, but we will do all in our power to get the blog back to full functionality.

Imetolewa na Operation Manager wa Modewjiblog, Zainul Mzige.