
Mtafiti Mkuu na Mkurugenzi wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano kutoka Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu, Leonard Mboera akiwasilisha moja ya tafiti walizofanya kuhusiana na ugonjwa wa malaria kwa nchi za Ukanda wa jangwa la Sahara
Mtafiti Mkuu na Mkurugenzi wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano kutoka Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu, Leonard Mboera akiwasilisha moja ya tafiti walizofanya kuhusiana na ugonjwa wa malaria kwa nchi za Ukanda wa jangwa la Sahara.
Baadhi ya wa tafiti wanasayansi kutoka nchi mbalimbali wakifuatilia uwasilishaji wa trafiti mbalimbali.
Watafiti wakifuatilia mada hizo.
Mkurugenzi wa Vector Control Operations, Dr.Steven Magesa akichangia mada.
Mkurugenzi Mkuu wa Zamani wa NIMR, Dr. Andrew Kitua akichangia mada.