Mh. Pinda akutana na naibu waziri mkuu wa Ireland Dodoma leo.

Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda akisalimiana na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje na Biashara wa Ireland Mhe.Eamon Gilmore (T.D) alipokutana  naye ofisini kwake leo mjini Dodoma .Waziri wa Ireland yupo nchini kwa ziara fupi ya kikazi .

Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda akibadilishana mawazo na mgeni wake Naibu Waziri Mkuu wa Mambo ya Nje na Biashara wa Ireland Mhe. Eamon Gilmore (T.D) alipokutana naye ofisni kwake leo mjini Dodoma.Waziri wa Ireland yupo nchini kwa ziara fupi ya kikazi.
Picha na Nicholaus Mmbaga –PMO