Megatrade Investment Waisaidia Kilimanjaro FC

Hundi iliyotolewa na kampuni ya Megatrade Investment Ltd.

Hundi iliyotolewa na kampuni ya Megatrade
Investment Ltd.

Meneja Mauzo wa Kampuni ya Megatrade Investment Ltd ya jijini A rusha, kanda ya Kaskazini, Edmund Rutaraka akikabidhi hundi ya kiasi cha sh Mil, 1.5 kwa Mwenyekiti wa chama cha soka mkoa wa Kilimanjaro(KRFA) Gudluck Mushi kwa ajili ya kuisadia timu ya Kilimanjaro fc inayoshiriki ligi ya mabingwa wa mikoaikiwa kituo cha Lindi.

 

Menejamauzo wa kanda ya Kaskazini wa kampuni ya Megatrade, Edmund Rutaraka akizungumza jambo mara baada ya kukabidhi msaadawa kiasi cha sh Mil,1.5 kwa ajili ya timu ya Kilimanjaro fc.kushoto kwake mwakilishi wa kampuni hiyo mkoa wa Kilimanjaro Loseline Laiser.

 

Mwenyekiti wa chama cha soka mkoa wa Kilimanjaro Gudluck Mushi akizungumza mara baada ya kupokea msaada wa pesa kiasi cha sh Mil,1.5 kutoka kampuni ya Megatrade kwa ajili ya timu ya Kilimnjaro fc.
Katibu wa Chama cha soka mkoa wa Kilimanjaro, Mohamed Musa akitoa neno la shukrani mara baada ya kupokea msaada wa fedha toka kampuni ya Megatrade.
Katibu wa kundi la mtandao wa Soka letu ,Godfrey Madegwa akizungumza namna ambavyo kundi hilo la wadau linavyo
pambana kutafuta fedha za kuisadia klabu ya Kilimanjaro
fc.
Baadhi ya wadau waliofika ofisi za KRFA kwa ajili ya kushuhudia utolewaji wa hundi ya kiasi cha sh Mil,1.5 kwa ajili ya kuisadia timu ya Kilimanjaro fc.Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini,