Mbarawa Azitaka Taasisi Kushirikiana Kuboresha Miundombinu ya Viwanda.

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa akifungua mkutano wa Uwezeshaji viwanda baina ya China na nchi za Afrika uliofanyika jijini Dar es Salaam wa pili kutoka kulia ni Balozi wa China nchini Dr.Lu Youqing

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa akifungua mkutano wa Uwezeshaji viwanda baina ya China na nchi za Afrika uliofanyika jijini Dar es Salaam wa pili kutoka kulia ni Balozi wa China nchini Dr.Lu Youqing

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Makame Mbarawa amezitaka Taasisi za Sekta binafsikushirikiananaSerikalikatikakukuzauchumiwaviwanda.
AmezitakasektahizokutumiafursazauwekezajizinazotolewanaSerikalikama vile ujenziwareliyakati, njiayamagariyaharaka (Dar- Chalinze express way) naupanuziwaviwanjavyandegembalimbalinchini.
Ametoapendekezohilojijini Dar es salaamwakatiakifunguaseminayawataalamuwa Tanzania na Chinakatikakujadilinamna bora yakuboreshamiundombinuyaviwanda.
“NaaminikwambaserikalipamojanaTaasisihizizikishirikaianakwapamojazitawezakuboreshaviwandanakufikiauchumiwakatiifikapomwaka 2020”, amesemaWaziriMbarawa.

Balozi wa China nchini Dr.Lu Youqing kulia akiongea na mmoja wa wajumbe wa mkutano huo Prof. Ibrahim Lipumba mara baada ya ufunguzi wa mkutano wa uwezeshaji viwanda baina ya China na nchi za Afrika uliofanyika jijini Dar es Salaam

Balozi wa China nchini Dr.Lu Youqing kulia akiongea na mmoja wa wajumbe wa mkutano huo Prof. Ibrahim Lipumba mara baada ya ufunguzi wa mkutano wa uwezeshaji viwanda baina ya China na nchi za Afrika uliofanyika jijini Dar es Salaam

  Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa kushoto akifurahia jambo  na Prof. Ibrahimu Lipumba mjumbe wa mkutano wa Uwezeshaji viwanda baina ya China na nchi za Afrika uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.katikati ni Balozi wa China nchini Dr.Lu Youqing

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa kushoto akifurahia jambo na Prof. Ibrahimu Lipumba mjumbe wa mkutano wa Uwezeshaji viwanda baina ya China na nchi za Afrika uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.katikati ni Balozi wa China nchini Dr.Lu Youqing


Aidha, amewatakawadaukutumiafursahiyokatikakujifunzanakuigambinumbalimbalizinazotumiwananchiya China ambayoimeendeleakatikasektayaviwandamarabaadayakumalizikakwaseminahiyo.
Amefafanuakuwakupitiauboreshwajiwaviwandanchini, Serikaliinatarajiakuongezapatokutokananaushindaniwakibiasharaambaoutafanywanawawekezajikutokanchihizombilihususanikatikamasualayamiundombinu.
“Tunakaribishawawekezajiwengikutoka China ambaowataletamapinduziyaviwandanchinikwetunahivyokukuzauchuminapatokwaujumla”, amesisitizaMbarawa.
Amesemakuwasuala la kuboreshaviwandalinaendasambambanautunzajiwamazingirakwaniviwandavingivimekuwavikiletaatharikatikaafyayamwanadamu.
NayeNaibuWaziriwa Mambo yaNjeMhe. Dkt. Suzan Kolimba, ameipongezaSerikaliya China kuichagua Tanzania kuwaninchiya kwanza kuifanyiautafitiwakujadiliuboreshajiwaviwandaAfrikanakuahidikutoaushirikianoilikutekelezamaendeleochanya.
Kwaupande wake Baloziwa China nchini Lu Youqing, amesemakuwakutokananaushirikianowakaribuuliopobainayaSerikaliya China na Tanzania anaaminikuwawadauwanchihizombiliwatashirikianakikamilifukatikakuwekezanakuboreshaviwandanchiniilikuongezauzalishaji.

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa (wa tano kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa mkutano wa Uwezeshaji viwanda baina ya China na nchi za Afrika. Picha na Benjamini Sawe-Maelezo.

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa (wa tano kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa mkutano wa Uwezeshaji viwanda baina ya China na nchi za Afrika. Picha na Benjamini Sawe-Maelezo.