Matukio Tamasha la Castle Lite Unlocks, Leaders

Msanii Diamond Platinumz akiwa kwenye Tamasha kubwa  la Castle Lite Unlocks viwanja vya Leaders jijini Dar Es Salaam., akiwakonga wapenzi wa burudani  usiku wa kuamkia leo. 

Msanii Vanessa Mdee akiwa jukwaani akiwakonga mashabiki.

 

Msanii Casper Nyovest akiwa jukwaani akiwakonga mashabiki.

 

Msanii toka Marekani FUTURE akiwa jukwaani kwenye tamasha kubwa la castle lite unlocks usiku wa kuamkia leo.

 

.Msanii toka Afrika kusini Casper Nyovest akifanya mahojiano na waandishi wa habari wakiongozwa na Taji Liundi pembeni yake usiku wa kuamkia leo kwenye tamasha kubwa  la castle lite unlocks viwanja vya Leaders jijini Dar Es Salaam.

 

. Wasanii Nevy Kenzo wakizungumza na waandishi wa habari kwenye tamasha la castle lite unlocks usiku wa kuamkia leo 
. Msanii Diamond akizungumza na waandishi wa habari wakiongozwa na Taji Liundi kabla ya kupanda kwenye jukwaa la castle lite unlocks usiku wa kuamkia leo.

 


Sehemu ya mashabiki waliofurika viwanja vya Leaders 

Sehemu ya mashabiki waliofurika viwanja vya Leaders 

Sehemu ya mashabiki waliofurika viwanja vya Leaders.