Matukio Picha Maonesho ya Wakulima Nane Nane Lindi

Mratibu Msaidizi wa Tovuti ya TAYOA Bw. John J. Mindu akimweleza Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Dr. Florence Turuka kuhusu tovuti ya vijana ya vijanatz. Com inayoelezea masuala ya Biashara, Afya, Ajira kwa vijana ili waweze kujiendeleza, wakati alipotembelea Banda hilo katika Maonesho   ya Wakulima NAne Nane tarehe 3 Agosti, 2014.

Mratibu Msaidizi wa Tovuti ya TAYOA Bw. John J. Mindu akimweleza Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Dr. Florence Turuka kuhusu tovuti ya vijana ya vijanatz. Com inayoelezea masuala ya Biashara, Afya, Ajira kwa vijana ili waweze kujiendeleza, wakati alipotembelea Banda hilo katika Maonesho ya Wakulima NAne Nane tarehe 3 Agosti, 2014.

Baadhi ya Wananchi wa Mkoa wa Lindi wakipata Elimu juu ya Uratibu wa Shughuli za Serikali katika Banda la Ofisi ya Waziri Mkuu walipotembelea Banda hilo katika Maonesho ya Kitaifa ya Wakulima Nane Nane tarehe 3 Agosti, 2014.

Baadhi ya Wananchi wa Mkoa wa Lindi wakipata Elimu juu ya Uratibu wa Shughuli za Serikali katika Banda la Ofisi ya Waziri Mkuu walipotembelea Banda hilo katika Maonesho ya Kitaifa ya Wakulima Nane Nane tarehe 3 Agosti, 2014.

Baadhi ya Wananchi wa Mkoa wa Lindi wakipata Elimu juu ya Uratibu wa Shughuli za Serikali katika Banda la Ofisi ya Waziri Mkuu walipotembelea Banda hilo katika Maonesho ya Kitaifa ya Wakulima Nane Nane tarehe 3 Agosti, 2014.

Baadhi ya Wananchi wa Mkoa wa Lindi wakipata Elimu juu ya Uratibu wa Shughuli za Serikali katika Banda la Ofisi ya Waziri Mkuu walipotembelea Banda hilo katika Maonesho ya Kitaifa ya Wakulima Nane Nane tarehe 3 Agosti, 2014.

Mratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Edga Senga akipokea maelekezo kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dr. Florence Turuka kuhusu masuala ya Maafa alipotembelea banda hilo katika Maonesho ya Nane Nane yanayoendelea katika Mkoani Dodoma, Tarehe 3 Agosti, 2014.

Mratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Edga Senga akipokea maelekezo kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dr. Florence Turuka kuhusu masuala ya Maafa alipotembelea banda hilo katika Maonesho ya Nane Nane yanayoendelea katika Mkoani Dodoma, Tarehe 3 Agosti, 2014.