
Msimamizi wa Huduma kwa Wateja wa kampuni ya Simu ya Tigo, Boaz Ikupilika akionesha medemu maalumu ya internet ikiwa ni moja ya huduma zinazotolewa na kampuni hiyo ndani ya banda lao viwanja vya SabaSaba jana.

Mkuu wa Idara ya Mawasiliano na Mahusiano wa EWURA, Titus Kaguo alipokuwa akizungumza na wanahabari kutoa ufafanuzi juu ya mabadiliko ya tozo ya bei ya kodi ya mafuta ya taa.

Hapa sio Beach, bali ni ndani ya Banda la Zantel huduma ya High Life ndani ya viwanja vya SabaSaba. Tembelea ujionee mwenyewe.

Delphin Bernrd Kallghe, akionesha moja ya samani za vyuma zinazotengenezwa na kampuni yake ya MR OIL SKUVI 141 LIMITED