Salma Kikwete ataka mchezo wa bao uende shuleni

Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA na mlezi wa shirikisho la mchezo wa jadi wa Bao Mama Salma Kikwete (kushoto) akicheza bao na Rais wa mchezo huo baada ya hafla fupi ya kukabidhiwa bao hilo iliyofanyika jijini Dar eS salaam leo. Picha na Mwankombo Jumaa- MAELEZO

Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) na mlezi wa Shirikisho la Mchezo wa Jadi wa Bao, Mama Salma Kikwete (kushoto) akicheza bao na Rais wa mchezo huo baada ya hafla fupi ya kukabidhiwa bao hilo iliyofanyika jijini Dar eS salaam. Picha na mdau Mwankombo Jumaa-MAELEZO.