Lowassa Atembelea Kaburi la Marehemu Mzee Kisumo

Mgombea Urais Tanzania kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa akiweka shada la maua katika kaburi la aliewahi kuwa mwanasiasa mkongwe nchini, Marehemu Mzee Peter Kisumo, alipokwenda kuhani msiba Nyumbani kwa Familia ya Kisumo, Usangi, wilayani Mwanga, mkoani Kilimanjaro Oktoba 6, 2015. Picha na Othman Michuzi.

Mgombea Urais Tanzania kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa akiweka shada la maua katika kaburi la aliewahi kuwa mwanasiasa mkongwe nchini, Marehemu Mzee Peter Kisumo, alipokwenda kuhani msiba Nyumbani kwa Familia ya Kisumo, Usangi, wilayani Mwanga, mkoani Kilimanjaro Oktoba 6, 2015. Picha na Othman Michuzi.

Mgombea Urais Tanzania kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa, akisalimiana na Kaka wa Marehemu Mzee Peter Kisumo, Mzee Daniel Mchangila, wakati alipofika kuhani msiba wa aliewahi kuwa mwanasiasa mkongwe nchini, Marehemu Mzee Peter Kisumo, alipokwenda kuhani msiba Nyumbani kwa Familia ya Kisumo, Usangi, wilayani Mwanga, mkoani Kilimanjaro Oktoba 6, 2015. Kulia ni Mama Mdogo wa Marehemu Mzee Kisumo, Bi. Nashati Mbawa. Picha na Othman Michuzi.

Mgombea Urais Tanzania kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa, akisalimiana na Kaka wa Marehemu Mzee Peter Kisumo, Mzee Daniel Mchangila, wakati alipofika kuhani msiba wa aliewahi kuwa mwanasiasa mkongwe nchini, Marehemu Mzee Peter Kisumo, alipokwenda kuhani msiba Nyumbani kwa Familia ya Kisumo, Usangi, wilayani Mwanga, mkoani Kilimanjaro Oktoba 6, 2015. Kulia ni Mama Mdogo wa Marehemu Mzee Kisumo, Bi. Nashati Mbawa. Picha na Othman Michuzi.

Mgombea Urais Tanzania kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa, akisaini kitabu cha maombolezo, wakati alipofika kuhani msiba wa aliewahi kuwa mwanasiasa mkongwe nchini, Marehemu Mzee Peter Kisumo, alipokwenda kuhani msiba Nyumbani kwa Familia ya Kisumo, Usangi, wilayani Mwanga, mkoani Kilimanjaro Oktoba 6, 2015. Picha na Othman Michuzi.

Mgombea Urais Tanzania kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa, akisaini kitabu cha maombolezo, wakati alipofika kuhani msiba wa aliewahi kuwa mwanasiasa mkongwe nchini, Marehemu Mzee Peter Kisumo, alipokwenda kuhani msiba Nyumbani kwa Familia ya Kisumo, Usangi, wilayani Mwanga, mkoani Kilimanjaro Oktoba 6, 2015. Picha na Othman Michuzi.

Mgombea Urais Tanzania kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa, akisaini kitabu cha maombolezo, wakati alipofika kuhani msiba wa aliewahi kuwa mwanasiasa mkongwe nchini, Marehemu Mzee Peter Kisumo, alipokwenda kuhani msiba Nyumbani kwa Familia ya Kisumo, Usangi, wilayani Mwanga, mkoani Kilimanjaro Oktoba 6, 2015. Picha na Othman Michuzi.

Mgombea Urais Tanzania kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa, akisaini kitabu cha maombolezo, wakati alipofika kuhani msiba wa aliewahi kuwa mwanasiasa mkongwe nchini, Marehemu Mzee Peter Kisumo, alipokwenda kuhani msiba Nyumbani kwa Familia ya Kisumo, Usangi, wilayani Mwanga, mkoani Kilimanjaro Oktoba 6, 2015. Picha na Othman Michuzi.