KWA PICHA HII: WAZIRI MKUU WA INDIA NI MFUASI WA CHADEMA?

Waziri Mkuu wa india Mh. Dr. Manmohan Singh

Mh Dr. Manmohan Singh, ambaye ni waziri mkuu wa India anatarajiwa kutua Bongo muda si mrefu (Tafadhali, rejea taarifa yetu ya awali)  kwa shughuli maalum. Nilipoona picha hii nikastuka kidogo, na kujiuliza itakuwa aje siku ya kutua Bongo halafu anarudia ishara yake ya vidole viwili kama tuonavyo hapo kwenye picha? Nafikiri itakuwa kama Waingereza wasemavyo “Very Interesting!”  Wewe unaona imekaa vipi hii?