GEL Tanzania Yatoa Nafasi ya Kusoma Nje ya Nchi

Muonekano wa Ofisi ya Global Education Link iliyopo ndani ya viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam.

Muonekano wa Ofisi ya Global Education Link iliyopo ndani ya viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam.

Muonekano wa Ofisi ya Global Education Link iliyopo ndani ya viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam.

Msimamizi wa Masoko wa Global Education Link ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya nchi, Bw. Haroun Weggoro akihudumia wateja waliohudhuria katika ofisi yao
iliyopo iliyopo maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.


Afisa Masoko wa Global Education Link ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya nchi,
Bw. Makungu Joseph akihudumia wateja waliohudhuria katika ofisi yao  iliyopo iliyopo maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.

Afisa Masoko wa Global Education Link ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya nchi,
Bw. Kantante Cornerio akihudumia wateja waliohudhuria katika ofisi yao
iliyopo iliyopo maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa Global Education Link ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje
ya nchi, Bw. Abdulmalik Mollel (Kushoto) akiwa na Meneja Mkuu wa Kampuni hiyo, David Nsimba (katikati) wakizungumza na mteja aliyewatembelea ofisini kwao katika maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.

Mmoja ya wafanyakazi wa Global Education Link ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya nchi, Bw. Doreen Luzuki akiwakaribusha wateja walitembelea ofisini kwao katika maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba yanayofanyika viwanja
vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.

Wafanyakazi wa Global Education Link wakiwa na nyuso za furaha kusubiri wageni.