
Mwamuzi wa pambano la ngumi la wacheza filamu maarufu Tanzania kati ya Wema Sepetu na Jacklen Wolper, John Chagu akiwainua mikono juu mabondia Wolper (kushoto) na Sepetu (kulia) kuashiria mpambano wao ni ngoma droo. Picha na Blog ya Super ‘D’.
Mwamuzi wa pambano la ngumi la wacheza filamu maarufu Tanzania kati ya Wema Sepetu na Jacklen Wolper, John Chagu akiwainua mikono juu mabondia Wolper (kushoto) na Sepetu (kulia) kuashiria mpambano wao ni ngoma droo. Picha na Blog ya Super ‘D’.