Dk Shein Katika Mkutano na Uongozi wa Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Uongozi wa Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais katika kikao cha utekelezaji Mpango kazi wa Robo tatu ya mwaka Julai - Machi 2013/2014, katika ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Unguja. (Picha na Ramadhan Othman, Ikulu.)

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Uongozi wa Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais katika kikao cha utekelezaji Mpango kazi wa Robo tatu ya mwaka Julai – Machi 2013/2014, katika ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Unguja leo jioni. (Picha na Ramadhan Othman, Ikulu.)