Dk Shein awasili nchini Uturuki kwa ziara

Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein, akiongozana na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania, Dk. Sander Gurbuz, (kulia) mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Ankara nchini Uturuki, akifuatana na Mkewe Mama Mwanamwema Shein, pamoja na Viongozi wengine wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, katika ziara rasmi kufuatia mwaliko wa Rais wa Nchi hiyo.