Dk Shein amzika msanii Maulid Mohammed ‘Machaprala”

Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein, akishiriki na waumini wengine wa dini ya Kiislamu kusalia Jeneza la marehemu msanii Maulid Mohammed ‘Machaprala’, katika msikiti Nambar, Kisiwandui Mjini Zanzibar. (Picha na mdau Ramadhan Othman, Ikulu).