Dk Mahanga asaidia vicoba Kimanga D’Salaam

MBUNGE wa Jimbo la Segerea, Dk. Makongoro Mahanga akikabidhi sh. 500,000 kwa umoja wa VICOBA katika Mtaa Tembomgwaza Kata ya Kimanga, Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa umoja huo unaojumuisha vikundi 10 juzi.