Dk. Bilal Amnadi Mohamed Mgimwa Mufindi Kaskazini

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. MOhammed Gharib Bilal, akiwahutubia wananchi wa Jimbo la Mufindi Kaskazini, mkoani Iringa wakati wa mkutano wa Kampeni za mgombea Ubunge wa jimbo hilo, Mohamed Mgimwa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. MOhammed Gharib Bilal, akiwahutubia wananchi wa Jimbo la Mufindi Kaskazini, mkoani Iringa wakati wa mkutano wa Kampeni za mgombea Ubunge wa jimbo hilo, Mohamed Mgimwa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya MUungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Mufundi Kaskazini, baada ya kumalizika kwa mkutano wa kampeni wa mgombea Ubunge wa Jimbo hilo, Mohamed Mgimwa. Picha na OMR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya MUungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Mufundi Kaskazini, baada ya kumalizika kwa mkutano wa kampeni wa mgombea Ubunge wa Jimbo hilo, Mohamed Mgimwa. Picha na OMR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya Viongozi wa Jimbo la Mufindi Kaskazini, Mkoani Iringa wakati alipowasili Jimboni hapo juzi Okt 17, 2015 kwaajili ya kumnadi mgombea Ubunge wa Jimbo hilo, Mohamed Mgimwa.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya Viongozi wa Jimbo la Mufindi Kaskazini, Mkoani Iringa wakati alipowasili Jimboni hapo juzi Okt 17, 2015 kwaajili ya kumnadi mgombea Ubunge wa Jimbo hilo, Mohamed Mgimwa.

Baadhi ya Vijana wa CCM wa Jimbo la Mufindi Kaskazini, wakiruka na kucheza staili ya mgombea Urais kupitia CCM, John Magufuli, wakati wa mkutano wa kampeni za mgombea Ubunge wa jimbo hilo, Mohamed Mgimwa, zilizofanyika mwishoni mwa wiki, jimboni hapo. Picha na OMR

Baadhi ya Vijana wa CCM wa Jimbo la Mufindi Kaskazini, wakiruka na kucheza staili ya mgombea Urais kupitia CCM, John Magufuli, wakati wa mkutano wa kampeni za mgombea Ubunge wa jimbo hilo, Mohamed Mgimwa, zilizofanyika mwishoni mwa wiki, jimboni hapo. Picha na OMR