CCM yafanya mazungumzo na wapinzani Ujerumani

KATIBU wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye (wapili kushoto), akizungumza na kiongozi kutoka chama cha upinzani cha SPD cha Ujerumani ambacho kinaongoza Jiji la Humberg nchini humo, Wolfgang Schmidt, (wapili kulia), wakati kiongozi huyo na ujumbe wake walipomtembelea na kuwa na mazungumzo naye, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba mjini Dar es Salaam jana. Wapili kulia ni Stefan Herms kutoka chama hicho (Na Mpiga picha Maalumu)