
Mgombea ubunge wa CCM, Arumeru Mashariki Sioi Sumari akisalimia mtoto Salehe Khalfan (3) aliyemkuta kwenye mkutano wa kampeni kijiji cha Mikandini

Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM, jimbo la Arumeru Mashariki, Sioi Sumari akisalimia wananchi baada ya kuwasili kwenye mkutano wa kampeni za CCM, uliofanyika leo Kijiji cha Mikandini jimboni humo.