Dk Magufuli Awasili Dar es salaam
Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akipungia wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa J.K. Nyerere, Jijini Dar es salaam kabla ya kwenda kuwahutubia wana-CCM wa Dar es salaam baada ya Ofisi Ndogo za CCM mtaa wa Lumbumba Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa …
Profesa Baregu Aongoza Kongamano la Vijana wa CHADEMA Karimjee
Mtoa mada katika kongamano hilo, David Kafulila akichangia mambo mbalimbali. Meza kuu katika kongamano hilo. Mada zikiendelea kutolewa. Wanahabari wakichukua taarifa mbalimbali. Usikivu ukiwa umetawala katika ukumbi huo.
Vijana na Mdahalo Kujadili Changamoto Anuai Dhidi yao
Mwakilishi Mkazi msaidizi kutoka UNFPA Bi. Christine Mwanukuzi akifungua mdahalo huo, kuwashukuru vijana kwa kujumuika pamoja na kuwapongeza kwa kufanikisha mdahalo huo kuelekea katika siku ya vijana duniani siku ya tarehe 12.08.2016. Bw. Badru Juma Rajabu akielezea historia ya siku ya vijana ilipoanzia na kusisitiza kuwa vijana wanatakiwa kutambulika na wasisahau kuchukua fursa pale wanapowezeshwa. Oscar Kimario muwezeshaji …