Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na mkuu wa mkoa wa Arusha Ndugu Mrisho Gambo mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa KIA tayari kwa ufunguzi wa mkutano wa Shirikisho la Wakuu wa Majeshi ya Polisi Kusini mwa Afrika (SARPCCO) utakaofanyika mkoani Arusha kwenye ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa AICC. Makamu wa Rais wa …
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Aswali Swala ya Idd El Haji Mwembe Yanga
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitoa hutuba katika swala ya Idd El Haji iliyofanyika Viwanja vya Mwembe Yanga Dar es Salaam leo asubuhi. Waziri Mkuu alivyojumuika na waislam wenzake katika swala hiyo. Sheikh Abdu Kadri akiongoza swala ya Idd El Haji. Sheikh Nurudin Kishki akihutubia baada ya swala hiyo. Waumini wa dini ya kiislam wakishiriki swala hiyo. Waumini wa …
Rais Dk Magufuli Atoa Zawadi ya Idd El Hajj Makao ya Wazee
KATIKA kusherehekea Sikukuu ya Idd El Hajj siku ya Jumatatu Septemba 12, 2016, Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli, ametoa msaada wa vyakula wenye thamani ya shilingi laki saba na elfu themanini (780,000), kwa ajili ya Kituo cha kulelea Wazee na Walemavu wasiojiweza cha Bukumbi Wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza. Akikabidhi msaada huo jana, Mkuu …