Baraza la Watoto Mkoani Mwanza Lataka Fursa Sawa kwa Watoto

  Mwenyekiti wa Baraza la Watoto mkoani Mwanza, Paulina Mashauri, akizungumza wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Kike Duniani ambayo Jijini Mwanza yamefanyika hii leo Oktoba 11, katika Uwanja wa Furahisha na kuwashirikisha watoto kutoka shule na taasisi mbalimbali. Wanafunzi wasichana wakiigiza michezo na maigizo mbalimbali Wanafunzi wasichana wakiigiza michezo na maigizo mbalimbali Kulikuwa na matukio mbalimbali ikiwemo …

TAMWA Yaanza Kutoa Mafunzo Uandishi Habari za Usalama Barabarani

        MKURUGENZI Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Bi. Eda Sanga akizungumza kabla ya ufunguzi wa mafunzo hayo alisema TAMWA ina kila sababu ya kuingia katika mapambano ya ajali nchini kwa kuwa zimekuwa zikiwaathiri wanawake na watoto kwa kiasi kikubwa. Alisema licha ya ajali nyingi kupoteza maisha ya wanaume na kujeruhi wengine kundi hilo limekuwa …

Mkuu wa Wilaya ya Same Achoma Shamba la Mirungi

 Wakazi wa Kijiji cha Kisesa Kata ya Vudee wakishuhudia zoezi la uteketezaji wa shambala Mirungi   Mkulima wa zao la Mirungi Johnson Charles Kangara akiwa ameshika mafuta ya taa tayari kwa ajili ya kuteketeza shamba lake la Mirungi    Shamba la Mirungi likiteketea baada ya agizo la Mkuu wa Wilaya ya Same Mhe Rosemary Staki Na Mathias Canal, Kilimanjaro MWISHONI mwa …

Wazee Wakumbukwa Katika Maadhimisho Wilayani Muheza

   Mkuu wa wilaya ya Muheza, Hajat, Mhandisi Mwanasha Tumbo akizungumza katika mdahalo wa siku ya wazee kiwilaya iliyofanyika kwenye ukumbi wa Halmashauri kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha Wazee Muheza. Katibu Tawala wa wilaya ya Muheza (DAS) akizungumza neno kwenye kwenye mkutano huo   Mwenyekiti wa Halmasahuri ya wilaya ya Muheza akizungumza      Afisa Ustawi wa Jamii na Kaimu Mkurugenzi wa …

Naibu Waziri Anastazia Wambura Azungumza na Wawekezaji Wachina

Naibu Waziri, Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Anastazia Wambura (kushoto) akisalimiana na Afisa Mkuu wa Kampuni ya StarTimes Bw. Leo wakati alipokutana naye kwa ajili ya kujadiliana masuala mbalimbali ya ushirikiano leo 10/10/2016 Jijini Dar es Salaam.     Baadhi ya Viongozi na watendaji wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo pamoja na wawekezaji wakifuatilia mazungumzo …