Bayport Yakabidhi Madarasa Yenye Thamani ya Milioni 200 Kituoni KCVC

Watoto  wanaolelewa katika  kituo cha KCVC wakiimba  wimbo  maalumu.     Afisa  Mtendaji Mkuu wa Bayport Tanzania, John Mbaga  akiongea na wageni  waalikwa  katika hafla ya  uzinduzi wa  kituo cha KCVC.   Mlezi kituo  hicho mama Anna Mkapa akitoa hotuba kwa wageni waalikwa      Mkuu wa  wilaya  ya  Kibaha  mh Asumta  Mshama akiongea na  wageni  waalikwa  katika  hafla ya uzinduzi …

Naibu Spika Dk Tulia Asakata Mpira wa Pete na Timu ya Bunge

  Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Akson (kulia), wa timu ya Bunge  akidaka mpira ulioelekezwa golini kwake walipocheza na timu ya Wilaya ya Chato katika mchezo wa kirafiki wa netiboli uliofanyika hivi karibuni kwenye Uwanja wa Jamhuri Dodoma.               PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

Ofisi ya Taifa ya Takwimu Yatoa Taarifa Mfumuko wa Bei..!

    Na Beatrice Lyimo, MAELEZO -DAR ES SALAAM OFISI ya Taifa ya Takwimu (NBS) imetoa taarifa kuhusu mfumuko wa bei wa Taifa ambapo mfumuko wa bei wa taifa kwa mwezi oktoba, 2016 umebaki kuwa asilimia 4.5 kama ilivyokuwa mwezi Septemba mwaka huu Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Mtakwimu Mkuu wa Ofisi ya Taifa takwimu, …

RC Awataka Ustawi wa Jamii Kushirikiana na Polisi Kudhibiti Ukatili

  Mkuu wa mkoa wa Mwanza John Mongella, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kituo cha One Stop Centre katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Mwanza, Sekour Toure, hii leo. Mkuu wa mkoa wa Mwanza John Mongella, akizindua jengo la kituo cha One Stop Centre katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Mwanza, Sekour Toure. Mkuu wa mkoa wa Mwanza …

TEA Yahamasisha Uanzishwaji Mifuko ya Elimu Mkoani Kigoma

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania, Joel Laurent akihamasisha uanzilishwaji wa Mifuko ya Elimu kwa Uongozi wa Halmashauri ya wilaya ya Kasulu, Mkoa wa Kigoma. Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania Joel Laurent na mwanafunzi wa Shule ya Msingi Nengo iliyopo Kibondo yenye wanafunzi wenye mahitaji maaluum. Elimu maalum ni moja kati ya miradi inayaotekelezwa na Mamlaka ya …