METDO Yasaidia Wazee Kituo cha Kiilima Mkoani Kagera

Kushoto ni Dkt Peter Shija Mganga Mfawidhi kutoka Zahanati ya Ibosa akisisitiza jambo kwa Afisa ustawi wa Jamii Wilaya ya Nyamagana ambaye pia ni katibu wa TAWSO Mwanza Bi Abigali Mhingo.  Meneja Mradi wa METDO Tanzania Bw Hussein Sungura akisaini kitabu cha wageni kwa niaba ya uongozi wa METDO Tanzania katika kituo cha Wazee KIILIMA Manispaa ya Bukoba, Mkoani Kagera.  Hiki …

Rais Msaafu Mwinyi Aongoza Mahafali ya Chuo Kikuu Kampala, KIU

   Rais mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi akiwatunuku wahitimu wa kozi mbalimbali katika mahafali ya Chuo Kikuu cha Kampala cha jijini Dar es Salaam kwenye sherehe za mahafali.  Baadhi ya waadhiri wa chuo hicho wakiwa kwenye mahafali hayo.  Rais mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi (kushoto) na mgeni rasmi katika mahafali …

Kampuni ya SBL Yamzawadia Mteja wa Bia Pikipiki Mpya

    Meneja Chapa wa Bia ya Pilsner, Isamba Kasaka  akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani ) wakati wa kukabidhi zawadi kwa  mshindi wa pikipiki mpya iliyotolewa kwa  Shindano la kunywa bia ya Pilsner  lililofanyika jijini Dar es Salaam  mwishoni mwa wiki  linalojulikana kama “Pilsner Lager Nguruma Party.”  Pembeni yake ni Meneja Biashara  Mipango na matukio Pwani na Dar …