Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taasisi ya Hakielimu, Martha Qorro (kushoto) na Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Katarina Rangnitt (wa pili kulia) wakifungua kitambaa kuashiria uzinduzi wa mpango mkakati wa miaka mitano wa Hakielimu jijini Dar es Salaam. Kulia akishuhudia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hakielimu, John Kalage. Mkurugenzi Mtendaji wa Hakielimu, John Kalage akizungumza na wageni waalikwa …
Wasichana Wanne Kutoka Tanzania Waenda Kupata Mafunzo ya Uongozi
Wasichana wanne wa Tanzania wakiaga kwa kupungia mikono huku wakiwa na , Bendera ya Taifa waliyokabidhiwa na Kamishna Mkuu wa Chama cha Tanzania Girl Guids (TGGA), Symphorosa Hangi katika hafla ya kuwaaga kwenda Uganda ambako watakutana na wenzao 31 kutoka nchi za Afrika Mashariki na Kati katika mafunzo ya uongozi na utamaduni katika nchi hizo. Hafla hiyo ilifanyika Uwanja wa Ndege …
Makosa ya Watumiaji Barabara Yanavyoatarisha Maisha ya Watumiaji Wengine
Mwendesha bodaboda pamoja na abiria wake akitumia barabara eneo lisilo sahihi jambo ambalo ni hatari kwa watumiaji wengine. Pamoja na hayo dereva huyu na abiria wake hawajavaa kofia ngumu jambo ambalo ni kosa lingine kisheria.
Jumuiya ya Singh Wasaidia Madawati Jimbo la Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete wa tatu kutoka kushoto, akiwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Singh Bwana Kugis wa pili kutoka kulia,pamoja Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo wa kwanza kushoto baada ya kupokea msaada wa madawati kutoka Jumuiya hiyo. Mbunge wa Jimbo la Chalinze akipanda mti kuashiria sherehe ya miaka 350 toka kuzaliwa kwa Guru Sing Sikh. Mkuu wa …