Mbunge Ritta Kabati Akabidhi Mifuko ya Saruji Ujenzi Ofisi ya CCM Ruaha

 Mbunge wa viti maalumu Mkoa wa Iringa Ritta Kabati kupitia chama cha mapinduzi (CCM) akiwa katika eneo la uwanja wa kujenga ofisi ya kata ya Ruaha.  Mbunge wa viti maalumu Mkoa wa Iringa Ritta Kabati kupitia chama cha mapinduzi (CCM) akibadilishana mawazo na katibu wa ccm manispaa ya Iringa Nuru Ngereja.  Mbunge wa viti maalumu Mkoa wa Iringa Ritta Kabati kupitia chama cha …

VETA-JKT Wawaasa Vijana Juu ya Dawa za Kulevya

 Paredi la ukakamavu na uzalendo likifanyika.    Gwaride likitoa heshima mbele ya mgeni rasmi.    Ndugu, wazazi na jamaa wa wanafunzi hao wakifuatilia kwa karibu shughuli hiyo.  wanafunzi wa shule hiyo wakifuatilia gwaride hilo.    Gwaride likiendelea.  wazazi wakiwa kwenye hafla hiyo.  Wimbo maalumu ukiimbwa.  Kiongozi wa gwaride hilo, Pelegia Nyunga akikabidhiwa zawadi na mgeni rasmi.  Francis Christopher akipewa zawadi. …

Benki ya Standard Chartered Yakabidhi Vifaa vya Michezo kwa Coca Cola, Mwananchi

   Mkuu wa Wateja Binafsi wa Benki ya Standard Chartered, Michael Shio (wa kwanza kulia) akimkabidhi Mhariri Mtendaji wa Mwananchi Communication Limited, Bakari Machumu (wa kwanza kushoto) vifaa vya michezo kwa ajili ya mashindano ya Kombe la Standard Chartered 2017 (Road to Anfield) ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 100  tangu benki hiyo kuanzishwa mwaka 1917 yanayotarajiwa kuanza kutimua …

Namaingo Business Agency, NHIF Wawakutanisha Wajasiriamali Tanga

MENEJA wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Ally Mwakababu akizungumza katika mkutano uliowakutanisha wajasiriamali  na Taasisi ya Kibiashara ya Namaingo Bussiness Agency uliokuwa na lengo la kuwahamasisha kujiunga na bima ya Afya na kuhalalisha biashara zao.  MENEJA wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Ally Mwakababu akizungumza katika mkutano uliowakutanisha wajasiriamali  na Taasisi ya Kibiashara ya Namaingo Bussiness …