Mwenyekiti wa Bodaboda Shinyanga Ajinyonga Hadi Kufa

  Askari polisi wakiweka kwenye gari la polisi mwili wa Mwenyekiti wa chama cha waendesha pikipiki manispaa ya Shinyanga Jacob Paul aliyejiua leo Juni 10,2017 kwa kujinyonga nyumbani kwake huku chanzo kikihusishwa na mgogoro wa waendesha bodaboda na jeshi la polisi mkoa wa Shinyanga. Jacob Paul enzi za uhai wake Wananchi wakiwa nyumbani kwa marehemu Jacob Paul. MAMIA ya wakazi wa …

BULEMBO AFUNGA KAZI WILAYA YA MISENYI NA BUKOBA MJINI MKOANI KAGERA

   Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akisaini kitabu cha wageni baada ya kuwaili ukumbini.    Wajumbe wakiwa ukumbini tayari kumsikiliza Alhaj Bulembo.  Katibu wa Jumuia ya Wazazi Tanzana, Wilaya ya Misenyi Rehema Mtawala akimkabidhi zawadi maalum Mjumbe wa kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Alhaj Abdallah Bulembo kabla ya kikao kuanza.    Mjumbe …

WANAHISA WA NMB WAPITISHA GAWIO LA SHILINGI BILIONI 52

        BENKI ya NMB (National Microfinance Bank Plc) imetangaza gawio la shilingi 104 kwa kila hisa. Wanahisa wa NMB walipitisha kiasi kilichokuwa kimependekezwa katika mkutano mkuu wa Mwaka uliofanyika jana jijini Dar es Salaam. Jumla ya gawio lote litakalolipwa kwa wana hisa ni shilingi Bilioni 52 kiwango ambacho kinaendana na sera ya benki ya kutoa moja ya …