NSSF Katika Maadhimisho ya Sherehe za Mei Mosi Dodoma
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Prof. Godius Kahyarara (katikati waliokaa), Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF, Crescentius Magori (kulia) na Meneja Kiongozi Masoko na Uhusiano wa NSSF, Eunice Chiume (kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa NSSF nje ya Ofisi ya Mkoa wa Dodoma wakati wa sherehe za Sikukuu za Mei Mosi zilizofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika …
Matukio Shindano la Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari 2015…!
Meneja Uhusiano wa Benki ya NMB, Vicent Mnyanyika (kulia) akikabidhi cheti cha ushiriki kwa mmoja wa washindani katika tuzo za umahiri wa uandishi wa habari zilizofanyika juzi katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Rais Dk Magufuli Afungua Kikao Kazi Cha Makamanda wa Polisi, Wanasheria na Wakuu wa Upelelezi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli akizungumza na Makamanda wa Polisi, Wanasheria wa Serikali, Wafawidhi wa Mikoa na Wakuu wa upelelezi wa Mikoa na Vikosi kabla ya kufungua rasmi Kikao kazi cha Makamanda hao wa Polisi katika Ukumbi wa Dodoma Convention Center Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli akiwasili kwenye …
Waziri wa Afya Afunga Mkutano wa Chama cha Maofisa Kumbukumbu na Taarifa za Afya Dar
Mwenyekiti wa Chama cha Maofisa Kumbukumbu na Taarifa za Afya Tanzania (THERIA), Geofrey Semu akizungumza katika mkutano wa THERIA leo jijini Dar es Salaam. Mkutano huo ulioshirikisha wanachama wa THERIA kutoka maeneo mbalimbali ya Tanzania umefanyika kwa siku mbili mfululizo, Aprili 27 na 28, 2016 katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Tiba cha Muhimbili. Katibu Mkuu wa Chama cha …