SHAMBULIO la bomu lililotegwa ndani ya gari karibu na Ofisi za Ubalozi wa Ufaransa Mjini Tripoli nchini Libya limewajeruhi watu 2 na kusababisha hasara kubwa baada ya kulipuka. Hili ni shambulio la kwanza dhidi ya masilahi ya Ufaransa nchini humo. Shambulio hilo linalotajwa kuwa ni la ‘kigaidi’ na viongozi wa Serikali ya Libya, limejiri katika wakati ambapo hali ya usalama …
Mtuhumiwa wa Mlipuko wa Mabomu Boston Alivyo Patikana
Inasemekana kuwa mtuhumiwa na mlipuko wa mabomu kule Boston alikuwa amesimama mwenyewe, rangi ya ngozi ni brown, alikuwa amebeba backpack na alikuwa haangalii mbio.
Texas Fertilizer Plant Explosion Kills 5 to 15 People, Sends 180 to Hospitals, Levels Homes
A fire and chemical explosion at a Texas fertilizer plant in a small town north of Waco, Texas, sent at least 180 people to hospitals, flattened homes and prompted widespread evacuations. The blast Wednesday evening at the West Fertilizer Plant in West, Texas, killed an estimated five to 15 people, said Sgt. William Patrick Swanton of the Waco Police Department, …
Watatu Wauwawa, Milipuko ya Boston, Marekani, 140 Wajeruhiwa
HADI sasa watu watatu wameshakufa kutokana na mashambulio ya mabomu mawili yaliyolipuka wakati wa mbio ndefu za marathon katika Mji wa Boston nchini Marekani, Mabomu mawili yalilipuka kwenye mitaa iliyokuwa imejaa watu karibu na sehemu ya kumalizia mbio za marathon. Watu watatu wamekufa kutokana na milipuko ya mabomu hayo yaliyoutikisa Mji wa Boston, Jimbo la Marekani la Massachusettes. Milipuko hiyo …
Polisi Mogadishu Waanza Msako Kutafuta Wauaji wa Zaidi ya Watu 35
POLISI nchini Somalia wameanzisha msako mkubwa kutafuta silaha, ikiwa ni siku moja baada ya mashambulizi makubwa kutokea mjini Mogadishu na kusababisha mauaji ya zaidi ya watu 35. Ofisa mkuu wa polisi nchini Somalia, Mohammed Hassan, amesema kwa sasa watu zaidi ya 400 wamekamatwa katika oparesheni hiyo ambayo inanuia kuimarisha usalama. Jana Jumapili watu tisa waliokuwa wamevalia mikanda ya mabomu walijiripua …