Romney atwaa ushindi New Hampshire

MITT Romney amepiga hatua ya kupata tiketi ya chama cha Republican baada ya kupata ushindi katika jimbo la New Hampshire. Romney amepiga hatua kupata tiketi ya Republican Kufikia sasa kura bado zinahesabiwa lakini katika asilimia 19 ya vituo vya kura, Romney alikuwa anaongoza wenzake na asimia 35 ya kura zilizopigwa. Dakika 20 baada ya vituo kufungwa Romney alihotubia wafuasi wake …

The 45 Places to Go in 2012, Tanzania included

IT’s been 12 years since Panama regained control of its canal, and the country’s economy is booming. Cranes stalk the skyline of the capital, Panama City, where high-rises sprout one after the next and immigrants arrive daily from around the world. Among those who have landed en masse in recent years are American expatriates and investors, who have banked on …

Rais wa Guinea Bissau afariki dunia

RAIS wa Guinea Bissau, Malam Bacai Sanha, amefariki dunia katika hospitali moja mjini Paris, nchini Ufaransa, alipokuwa akipokea matibabu. Ofisa mmoja wa Serikali ya Ufaransa leo ametangaza kifo cha kiongozi huyo wa taifa hilo la magharibi mwa Afrika ambalo limekumbwa na misukosuko. Sanha ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 64, alilazawa katika hospitali ya kijeshi ya Val de Grace …

Ni mgomo wa kutisha nchini Nigeria

MGOMO wa nchi nzima umeitishwa nchini Nigeria kupinga kuondolewa kwa ruzuku ya mafuta ambayo imesababisha shughuli za nchi hiyo kusimama. Maduka mengi, ofisi, shule na vituo vya mafuta nchini humo vimefungwa katika siku ya kwanza na mgomo ulioitishwa na vyama vya wafanyakazi. Taarifa zaidi zinaeleza maelfu ya watu wamekusanyika mjini Lagos na miji mingine kupinga kuondolewa kwa ruzuku ya mafuta …

Kanisa lashambuliwa Nigeria

MAOFISA wa Polisi nchini Nigeria wamesema kuwa watu waliokuwa wamejihami kwa bunduki wamewauwa watu watatu katika shambulio walilolifanya kwenye kanisa moja, Mji wa Gombe ulioko Kaskazini Mashariki mwa Nigeria. Mchungaji wa kanisa hilo, John Jauro amesema waumini wake walishambuliwa wakiwa wakisali sala za jioni. Mchungaji huyo wa Kanisa la Deeper Life ameongeza kuwa mke wake ni miongoni mwa watu waliouawa. …

Rwanda yashambuliwa

TAKRIBAN watu 18 wamejeruhiwa vibaya kufuatia shambulio la gurunedi lililofanyika mjini Kigali. Maofisa wa polisi wamesema hakuna mtu aliyeuawa katika shambulio hilo lilofanyika usiku wa Jumanne. Taarifa zinasema bado haijafahamika waliohusika na shambulio hilo, na tayari upelelezi umeanza. Mwanamke mmoja aliiambia BBC kuwa; “Nilikuwa nakwenda kuchukua simu yangu nikasikia mlipuko mkubwa, tukaanguka hapa na pale, wengi walinilalia wale waliokuwa nyuma …