Christian Bella Kuwasha Moto Fainali za TMT Mlimani City
Na Josephat Lukaza MSANII wa Muziki wa Dansi anayejulikana kama Christian Bella anayetamba na kibao chake cha Nani Kama Mama ni Mmoja wa Wasanii watakaotoa Burudani ya Kufa mtu katika Ukumbi wa Mlimani City Siku ya Jumamosi Tarehe 30 katika Fainali kubwa ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT). Bella Amehaidi kutoa Burudani ya uhakika ambapo wapenzi wa muziki wake …
Shakira Atuhumiwa Kuiba Wimbo
IMEBAINIKA kuwa wimbo uliovuma wa mwimbaji wa Pop maarufu Shakira ulinakiliwa kwa njia isiyo halali kwa kazi ya mtungaji mwingine wa nyimbo. Kauli hiyo imetolewa na Jaji Alvin Hellerstein mjini New York. Jaji Hellerstein alisema toleo la wimbo “Loca” la lugha ya kihispania 2010 lilikiuka haki za umiliki za wimbo wa mwimbaji Ramon Arias Vazquez. Toleo la Ramon la “Loca” …
Ruvuma Yazinduwa Kampeni ya Bwela Kuni na Wimbo Maalum
BAADHI ya Vijana kutokea Mkoa wa Ruvuma wakishirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo wameandaa kampeni maalum ya kunadi fursa anuai zilizopo katika mkoa huo kupitia sanaa ya muziki kwa kuwashirikisha wasanii na vijana wenye vipaji. Kampeni hizo zilizopewa jina la ‘BWELA KUNI’ neno la lugha ya Kingoni lenye asili ya mkoa huo likiwa na maana ya ‘njoo hapa’ zitazinduliwa rasmi …
Wasanii wa Kilimanjaro Music Tour Wamfariji Afande Sele
Baadhi ya Wasanii waliokuwa kwenye onesho la Kilimanjaro Music Tour lililofanyika mkoani Dodoma jana, leo walipitia nyumbani kwa Mfalme wa Rhymes a.k.a Simba Mzee a.k.a Afande Sele kumpa mkono wa pole na kumfariji kufuatia kifo cha Mzazi mwenzake Mama Tunda kilichotokea mwisho mwa wiki mjini Morogoro. Pichani ni Msanii wa Muziki wa Bongofleva atambulikae kwa jina la Shilole akimfariji …