INSTAGRAM PARTY MWANZA FreconicIdeaz was pleased to organize Quarterly Party Event, which was held on October 4th, 2014 from 7:00 p.m. until 4:00 a.m. at Jembe ni Jembe aka Jembe Beach Mwanza. The nights includes Live Musical Performances, dancing, meet and greets your fans and followers, etc. FeaturedLive performances by: Wakazi, Ben Paul, Stereo and Songa Featured music by DjVasley …
Kiota Kipya cha Fursat Dhahabiyya Kigamboni Chazinduliwa
Wadau mbalimbali wakijivinjari ndani ya kiota kipya cha Fursat Dhahabiyya Kilichopo Mji Mwema Kigamboni Muonekano kwa ndani wa Kiota Hicho
Matukio Uzinduzi Shindano la Big Brother Msimu wa Tisa
Meneja Uhusiano wa MultiChoice Tanzania, Barbara Kambogi, akiwakaribisha wageni waalikwa kwenye hafla ya uzinduzi wa shindano la Big Brother HOTSHOTS msimu wa tisa iliyoandaliwa maalum kwa wadau wa DStv na waandishi wa habari usiku wa kuamkia leo kwenye hoteli ya Dar es Salaam Serena. Bi. Kambogi alitoa rai kwa Watanzania kuwa wazalendo kwa kuwapigia kura nyingi washiriki wetu wawili wanaoiwakilisha …
Tamasha la Fiesta 2014 Mkoani Singida Lafana
Baadhi ya mwashabiki wa Tamasha la Fiesta 2014 wakishangilia kwa hisia, wakati shoo ikiendelea jukwaani ndani uwanja wa Namfua mjini Singida. Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka kampuni ya No Fake Zone, Lina Sanga ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wake wa Oletemba, akiimba jukwaani mbele ya umati wa watu wakati wa tamasha la Fiesta lililofanyika jana katika uwanja …
Bw. James Mwangwa na Bi. Mary Kimbi Wafunga Pingu za Maisha
Bwana Harusi ya James W. Mwangwa na Bi. Harusi Mary C. Kimbi wakiwa katika sherehe ya harusi yao iliyofanyika Oktoba 4, 2014 katika Ukumbi wa ‘Mwenge Social Hall’- Mwenge. Ibada ya Harusi yao ilifanyika katika Kanisa Katoliki Parokia ya Makuburi jijini Dar es Salaam. Maharusi James W. Mwangwa na mkewe Bi. Mary C. Kimbi wakiwa katika picha na baadhi …